Rais Jakaya Mrisho wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndiye mtu pekee aliyepatiwa nafasai ya kuligusa Kombe la Dunia lililotua jijini Dar es Salaam Alasiri ya Novemba 19,2009. Hebu mcheki mzee hapa anavyolifurahia
Naitwa Lilian Timbuka,kabila langu Mngoni dini Mkristo.
Ni mtoto wa Nne kwa kuzaliwa kati ya watoto Nane wa Mzee George Timbuka na Mama Victoria Timbuka. Kwa sasa ninafanya kazi katika Kampuni inayozalishja magazeti ya UHURU na MZALENDO (UPL). ni Mwandishi wa Habari by Professional.
No comments:
Post a Comment