Mpiga Picha wa Rais, fred Maro akitunukiwa nondozzz yake ya uzamili katika mawasiliano ya umma ( Master of Mass Communication) na Askofu Thadeus Ruwa’inchi katika wa mahafali ya 11 ya chuo kikuu cha Mt. Augustino (SAUT).
Naitwa Lilian Timbuka,kabila langu Mngoni dini Mkristo.
Ni mtoto wa Nne kwa kuzaliwa kati ya watoto Nane wa Mzee George Timbuka na Mama Victoria Timbuka. Kwa sasa ninafanya kazi katika Kampuni inayozalishja magazeti ya UHURU na MZALENDO (UPL). ni Mwandishi wa Habari by Professional.
No comments:
Post a Comment