Sunday, November 7, 2010


JK akiwa ikulu jijini Dar katika picha na pamoja na marais waliohudhuria sherehe za kuapishwa kwake.kutoka kushoto ni Rais Rupiah Banda wa Zambia,Rais Jacob Zuma wa Afrika ya kusini,Rais Mwai Kibaki wa Kenya na Rais Josepha Kabila wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo DRC

No comments: