Friday, November 26, 2010

Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha Dodoma Profesa Idrissa Kikula akimweleza jambo Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania,baada ya Rais Kikwete kuzindua Chuo hicho mjini Dodoma leo. Kulia ni Makamu wa rais Dk Mohamed Gharib Bilal ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la chuo kikuu cha Dodoma. Picha na mdau Clarence Nanyaro wa VPO

No comments: