Sunday, November 28, 2010


Mdau Teddy Mapunda akifuatiwa na Rais wa TFF Leordiga Tenga na Rais Jk pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa SBL Richard Wells, wakifurahia jambo uwanjani hapo kabla ya mechi kuanza baina ya Tanzania na Zambia. (PICHA ZOTE ZA MECHI HII NI KWA HISANI YA BASHIRI NKOROMO)

JK akiangalia Kombe, kulia ni Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo, Dk. Emmanuel Nchinbi.

JK. akisalimiana na wachezaji wa Timu ya Zambi


Akisalimiana na mchezaji machachari wa Timu ya Kili Stars Gaudence Mwaikimba


Kikosi cha timu ya Kili Stars

kikosi cha Timu ya Taifa ya Zambia

JK akipiga shuti kuashiria kufunguliwa rasmi kwa michuano hiyo



Wachezaji wa Zambia wakimbana Mwaikimba


Ngasa akijaribu kumtoka Beki wa Timu ya Zambia Venecious Mapande




































No comments: