Tuesday, December 7, 2010

Benjamin Msinge (kulia) ambaye ni Meneja wa ubora wa bidhaa wa oryx, akimwelekeza jambo Menejea Rasilimali watu wa Uhuru Publications Ltd, wachapishaji wa magazeti ya Uhuru Mzalendo na Burudani, Lucas Kisasa, baada ya safari ya kutembelea kiwanda hicho kuanza rasmi.

No comments: