Wednesday, August 8, 2012

Mwenyekiti wa Azam FC mzee Said Mohamed Said akihojiwa na waandishi wa habari baada ya kumtangaza rasmi kocha wa timu yake ya Azam FC ya jijini Dar es salaam, ambapo pia alisema kuhusu mchezaji Redondo ambaye anadaiwa kusajiliwa na timu ya Simba kwamba wao hwamzuii mchezaji huyo kwenda Simba isipokuwa Simba ifuate utaratibu wa Usajiri tu hawana tatizo na hilo

No comments: