Monday, August 6, 2012

NAREJESHA FOMU


Mgombea nafasi ya Mwenyekiti UWT Taifa, Halima Mohamed Mamuya, kulia, akirudisha fomu ya kuomba kugombea nafasi hiyo kwa Mkuu wa Idara ya Oganaizesheni UWT Makao Makuu Dar es Salaam Riziki Kingwande leo.

No comments: