Monday, August 6, 2012

NAZINDUA MASHINE ZA KUVUNIA MPUNGA





Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza laMapinduzi,Dk. Ali Mohamed Shein, akiwasha Mashine ya KuvuniaMpunga, (Combine Harvester) ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa Mashine hizo 14 zilizonunuliwa na Serikali ya Mapinduzi kwa lengo la kuboresha Mapinduzi ya Kilimo, katika Shamba la Mbegu Bambi, Wilaya ya Kati Mkoa waKusini Unguja. (Picha na RamadhanOthman, IKulu)





Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza laMapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akiangalia Mpunga Ukitokakatika mashine ya Kuvunia Mpunga,(Combine Harvester) baada yakuzindua mashine hizo katika shamba la Kilimo la Serikali huko BambiWilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja leo





Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza laMapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akiangalia Mpunga Uliovunwakwa kutumia mashine ya Kuvunia Mpunga,(Combine Harvester) baada yakuzindua mashine hizo katika shamba la Kilimo la Serikali huko BambiWilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja leo.

No comments: