Wednesday, August 22, 2012

TASWIRA YA BAADHIYA VITUO VYA MABASI DAR ES SALAAM

VIBANDA vya kupumzikia abiria katika vituo vya daladala mkoani Dar es Salaam, vinakabiliwa na tatizo la ukosefu wa matunzo. Pichani, abiria akisubiri usafiri katika kibanda ambacho kimeanza kuanguka, eneo la Karume, jana. Hali hiyo, inayotishia walengwa imedumu kwa zaidi ya wiki tatu sasa.


BENKI ya NMB, imeanzisha mpango wa Financial Fitness, unaolenga kuwahamasisha wanafunzi kuitumia benki hiyo katika kujiwekea akiba ya fedha. Pichani, wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Mkapa, mkoani Mbeya, wakiangalia jarida linaloelezea mpango huo, uliotambulishwa shuleni hapo.


No comments: