Monday, November 24, 2008

TUNAFURAHI PAMOJA


Rais Jakaya Kikwete akiwa na Askofu wa Jimbo Katoliki la Same, pichani wanaonekana kufurahi pamoja na watoto wa Shule ya Awali ya Asis ilipo jimboni Thame kama wao wanavyoita, lakini ni Same. Rais alikwenda kuifungua shule hiyo, mwaka jana.

No comments: