Friday, November 26, 2010

Banda la Tanzania kwenye Food Bazaar linalofanyika kila mwaka huko Geneva, Uswissi, na kuhudhuriwa na nchi mbalimbali zenye balozi zao huko. Misosi ya Tanzania ilikuwa kivutio kikubwa na wengi walivutiwa na mtori, makande na nyama choma

No comments: