Friday, November 26, 2010


Naibu waziri wa Viwanda na Biashara mteule ambaye pia ni Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu akizindua mradi wa nyumba zilizojengwa kisasa wakati alipoizindua kampeni ya ujenzi wa nyumba bora kwa wakazi wa jimbo hilo unaojulikana ‘Operesheni Ondoa Tembe’ ili kuboresha makazi ya wananchi wake ambao asilimia kubwa wamekuwa wakiishi katika nyumba hizo za asili

No comments: