Wednesday, November 17, 2010


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Alhaj Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na kumtakia salam za Eid El Hajj Mkuu wa Wilaya ya Temeke Chiku Galawa, baada ya kumalizika kwa Sala na Baraza la Eid El Hajj kitaifa lililofanyika leo katika Msikiti wa Simba Mbali Tandika Wilaya ya Temeke Dar es salaam.

No comments: