Wednesday, November 17, 2010

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Alhaj Dk. Mohamed Gharib Bilal, akilihutubia Taifa kwenye Baraza la Eid El Hajj kitaifa lililofanyika leo katika Msikiti wa Simba mbali Tandika Wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam.

No comments: