Tuesday, December 7, 2010

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Bw. David K.Jairo akifanya mahojiano na mwandishi wa habari wa BBC juu ya jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali kukabiliana na tatizo la umeme nchini.kushoto kwake ni Msaidizi wa Katibu Mkuu bwana Elias Kayandabila na Mkuu wa Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasialiano Bw.Aloyce Tesha.

No comments: