Transfoma mpya inayofungwa katika kituo cha kupooza umeme cha Kipawa baada ya kuondolewa kwa transfoma iliyoungua na kuchangia mgao wa umeme jijini dar es Salaam.
Naitwa Lilian Timbuka,kabila langu Mngoni dini Mkristo.
Ni mtoto wa Nne kwa kuzaliwa kati ya watoto Nane wa Mzee George Timbuka na Mama Victoria Timbuka. Kwa sasa ninafanya kazi katika Kampuni inayozalishja magazeti ya UHURU na MZALENDO (UPL). ni Mwandishi wa Habari by Professional.
No comments:
Post a Comment