Kadaaaa Khadija akijaribu kuzirudi ngoma za msondo zilizokuwa zikipigwa viwanjani hapo kama anavyoonekana kulia kwa huyo mdada anaye dansi naye.
Msondo waliwakuna wengi, mmoja wapo ni brother Mohamed kama anavyoonekana akilisakata rhumba la Msondo.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMB3tEoH5KTAJowFVh8_DXanBprg0qABL0h7-E7Go-vny1hqp-uk0tPg6WQ9c7azNqNdjCQFbKQ-sdp31zwFDi_7-cqkFKsLusciWO8pfv09Ub1ZqiMClLz-s467ZjUeOeB1XEDos5PNhJ/s320/lilian.JPG)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjq3Qm_dx62wHmhslVSIwHGsQXBft1YytJTZszvDqfZh-v-lEu_ZSSYAPFJV66ZUxY4GtoWOoJglMZTT1Z-3qDio4QyU1cf6d8w5SmKbilyFqKGGg7Uhlf8whfHQBEWkRjk7y3EClv_HuA3/s320/winn+kombe.JPG)
Katika bonanza hilo, kulishindaniwa michezo mbalimbali, UPL hawakubaki nyuma, walijitosa katika mchezo wa kuvuta kamba ambapo walifanikiwa kulitwaa kombe kama wanavyoonekana wakijidai na kombe hilo!!!!!!!
Katika bonanza hilo, kulishindaniwa michezo mbalimbali, UPL hawakubaki nyuma, walijitosa katika mchezo wa kuvuta kamba ambapo walifanikiwa kulitwaa kombe kama wanavyoonekana wakijidai na kombe hilo!!!!!!!
No comments:
Post a Comment