Wednesday, February 16, 2011

Rais Jakaya Kikwete, na Makamu wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal na Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Rashid Othman, wakisoma dua wakati wa sala ya mwili wa aliyekuwa dereva wa Ikulu, marehemu Ramadhani Said, aloyefariki kwa ajali ya gari, eneo la Ruvu Darajani, Dar es Salaam.
Hili ndilo Baraza Kivuri la Mawaziri kutoka Kambi ya Upinzani Bungeni, kama lilivyotangwazwa hivi karibuni na Kiongozi Mkuu wa Kambi hiyo, Mbunge wa Hai CHADEMA, Freeman Mbowe.
RAIS Jakaya Kikwete akimpa pole mtoto Brenda Boniface(4) aliyelazwa katika Hospitali ya shirika la Elimu Kibaha mkoa wa Pwani kwa kuugua malaria, baada ya kufungua jengo la Mama na Mtoto lililojengwa na Taasisi ya Korea Rotary Internationa katika hospitali hiyo, leo.Kulia ni mama wa mtoto huyo,Tiasaeli Palangyo.(Picha na Freddy Maro)

No comments: