Wednesday, February 9, 2011

Wanafunzi wa shule hiyo wakiwa na mwalimu wao, kabla ya kuanza kutembelea maeneo mbalimbali ya Ofisi za Uhuru Publications Ltd, mtaa wa Lumumba mjini Dar es Salaam, leo.
Msaidizi wa Mhariri wa Mzalendo, Kulwa Magwa (kushoto), akimtambulisha Msanifu wa Uhuru, Lilian Timbuka (kushoto), kwa wanafunzi hao.

Magwa akitoa maelezo ya utayarishaji wa gazeti wa magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, yanayochapishwa na Uhuru Publications Ltd (UPL), hapa wapo katika chumba chumba cha habari.


KIKAO CHA PILI CHA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KIKIENDELEA LEO MJINI DODOMA



Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, wakimsubiri kwa mabango kama hili, Waziri wa Elimu, Dk. Shukuru Kawambwa, kabla ya kufika chuoni hapo kuwasili kwa lengo la kuzungumza nao kuhusu nyongeza ya sh. 10,000 wanayotaka waongezwe kwenye fedha za kujikimu.


Mwanafunzi akiwa amejifunga utepe wa polisi baada ya kuung'oa eneo ulikokuwa umewekwa na polisi kwa ajili ya usalama.


No comments: