MWANAFUNZI wa darasa la saba katika Shule ya Msingi ya Meta, mkoani Mbeya, Herifield Francisco, akiendesha darasa, ambapo aliuliza maswali kuhusu uhalali wa mgomo wa walimu, ulioanza jana. (Picha na Mdau Solomon Mwansele).
Naitwa Lilian Timbuka,kabila langu Mngoni dini Mkristo.
Ni mtoto wa Nne kwa kuzaliwa kati ya watoto Nane wa Mzee George Timbuka na Mama Victoria Timbuka. Kwa sasa ninafanya kazi katika Kampuni inayozalishja magazeti ya UHURU na MZALENDO (UPL). ni Mwandishi wa Habari by Professional.
No comments:
Post a Comment