Monday, August 6, 2012

NAREJESHA FOMU Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akimkabidhi fomu anazorejesha za kugombea nafasi ya ujumbe wa UVCCM-NEC, Katibu wa UVCCM mkoani Mwanza Elias Mpanda jana, katika ofisi za CCM Mkoa wa Mwanza. Mstahiki Meya huyo anagombea nafasi ya ujumbe wa UVCCM-NEC ngazi ya Taifa.

No comments: