skip to main |
skip to sidebar
NAREJESHA FOMU Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akimkabidhi fomu anazorejesha za kugombea nafasi ya ujumbe wa UVCCM-NEC, Katibu wa UVCCM mkoani Mwanza Elias Mpanda jana, katika ofisi za CCM Mkoa wa Mwanza. Mstahiki Meya huyo anagombea nafasi ya ujumbe wa UVCCM-NEC ngazi ya Taifa.
No comments:
Post a Comment